RAIS SAMIA ACHANGIA UJENZI WA KANISA LA KKKT, CHAMWINO IKULU

Na Mwandishi Wetu-Chamwino RAIS SAMIA SULUH HASSAN ametoa Tsh. Milioni 50 kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chamwino Ikulu, kama ahadi ya mchango wake kwenye ujenzi unaoendelea wa Kanisa hilo.Akikabidhi Hati ya malipo hayo yaliyofanyika kwa njia ya Benki Mkuu wa mkoa wa Dodoma  Rosemary Senyamule  ambae alimwakilisha RAIS SAMIA SULUH